Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kikosi cha TP Mazembe kilivyowasili nchini

Video Archive
Sun, 19 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Kikosi cha Timu ya TP Mazembe kimeingia nchini Tanzania kwa kutumia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya mchezo wa kirafiki na Simba S.C katika siku ya Simba Day Septemba 19, 2021 utakaofanyika uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.

Kikosi cha Timu ya TP Mazembe kimeingia nchini Tanzania kwa kutumia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya mchezo wa kirafiki na Simba S.C katika siku ya Simba Day Septemba 19, 2021 utakaofanyika uwanja wa Mkapa Dar es Salaam. Baadhi ya Mashabiki wamelalamika kutoona baadhi ya nyota wa Wababe hao wa Soka barani Afrika.

Chanzo: millardayo.com