Tue, 21 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati wengi wakijiuliza nafasi ya Tanzania kufuzu hatua ya Robo fainali katika Mashindano ya Kimataifa kwa Vilabu vinavyoiwakilisha nchi.
Wakati wengi wakijiuliza nafasi ya Tanzania kufuzu hatua ya Robo fainali katika Mashindano ya Kimataifa kwa Vilabu vinavyoiwakilisha nchi. Tayari Yanga wao washachora ramani ya namna watakavyofuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na hasa baada ya kuitandika Mazembe siku ya Jumapili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live