Thu, 6 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC Salim Abdallah Try Again ameongea na waandishi kutolea ufafanuzi kwa uchache kuhusiana na suala la uhamisho wa Cloutous Chota Chama kurejea Simba SC.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC Salim Abdallah Try Again ameongea na waandishi kutolea ufafanuzi kwa uchache kuhusiana na suala la uhamisho wa Cloutous Chota Chama kurejea Simba SC. Bofya Video kumsikiliza, TanzaniaWeb tumekusogezea;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live