Menu ›
Habari
Wed, 13 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameshiriki katika sala fupi ya kumuombea aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wilayani Chato, Mkoani Geita, Oktoba 12, 2021.
Kushoto ni Mama Janeth Magufuli na aliyepiga magoti ni Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama.
Chanzo: millardayo.com