Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Watoto wamuua Mama yao na kumkata viungo vya mwili (+video)

Video Archive
Sun, 11 Jul 2021 Chanzo: millardayo.com

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linawashikilia Watuhumiwa watatu Wakazi wa Wilaya ya Kyerwa kwa tuhuma ya kumuua Bibi wa miaka 99 Frazia Rukera wakimtuhumu kuwa ni Mchawi.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Tuntufye Mwakagamba amesema kuwa Watuhumiwa hao watatu ni Watoto wa kuzaliwa wa Bibi huyo ambae sasa ni Marehemu na kuongeza kuwa alikatwa kichwa, mikono na mguu na kuondoka na viungo hivyo.

“Kilichofanya tuwashikilie Watoto wake ni kwasababu walimtenga Mama yao wakimtuhumu kuwa anawaroga Wanafamilia” RPC Mwakagamba

Chanzo: millardayo.com