Taasisi ya Watetezi wa Rasilimali Wasio na Mipaka wamefunguka kuzungumzia mambo yanayoendelea nchini Tanzania likiwemo tamko la maaskofu juu ya serikali ya Rais Magufuli. Hayo ameyasemwa Alhamisi hii na Mkurugenzi wa Utafiti wa Watetezi wa Rasilimali Wasio na Mipaka, Phillipo Mwakibinga wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam katika hotel ya Traveltime.
Taasisi ya Watetezi wa Rasilimali Wasio na Mipaka wamefunguka kuzungumzia mambo yanayoendelea nchini Tanzania likiwemo tamko la maaskofu juu ya serikali ya Rais Magufuli. Hayo ameyasemwa Alhamisi hii na Mkurugenzi wa Utafiti wa Watetezi wa Rasilimali Wasio na Mipaka, Phillipo Mwakibinga wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam katika hotel ya Traveltime. 78775446