Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wafanyabiashara nchini wamuangukia Rais Magufuli (+video)

Video Archive
Tue, 20 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara leo ameongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo. Ambao kauli mbiu ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”, ambapo Rais amesikiliza kero za wafanyabiashara wakubwa nchini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara leo ameongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo. Ambao kauli mbiu ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”, ambapo Rais amesikiliza kero za wafanyabiashara wakubwa nchini.

Chanzo: bongo5.com