Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara leo ameongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo. Ambao kauli mbiu ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”, ambapo Rais amesikiliza kero za wafanyabiashara wakubwa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara leo ameongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo. Ambao kauli mbiu ni “Tanzania ya viwanda – ushiriki wa sekta binafsi”, ambapo Rais amesikiliza kero za wafanyabiashara wakubwa nchini.