Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wabunge na madiwani wote wa Chadema wanakabiliwa na kesi mkoani Morogoro (+video)

Video Archive
Wed, 7 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa Wabunge wote wanne wanaotoka mkoa wa Morogoro wanakabiliwa na kesi, madiwani wote wa Chadema wanakabiliwa na kesi katika mkoa huo.

“Mkoa wa Morogoro unaongoza kwa kubambikiziwa kesi, Wabunge wote wanne wanaotoka mkoa wa Morogoro wanakabiliwa na kesi, madiwani wote wa Chadema wanakabiliwa na kesi katika mkoa wa Morogoro, madiwani watatu mpaka leo wamefungwa jela kwa makosa ya kubambikiziwa ya kisiasa na tunavyozungumza hivi viongozi wetu 40 wa morogoro mjini wanahudhuria kesi ya kisiasa iliyotokana na uchaguzi mdogo wa Kata ya Sofi ambapo Chadema ilishinda ambapo NEC kwa kushirikiana na serikali ikaamua kubadilisha matokeo,” alisema Mbowe.

Chanzo: bongo5.com