Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video: Nchi hii ina uwezo wa ajabu, ndio maana tunaonewa wivu – Rais Magufuli

Video Archive
Tue, 3 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Katika mapokezi ya ndege Bombardier Jumatatu hii, Rais John Pombe Magufuli amefunguka kuzungumzia namna nchi ya Tanzania inavyoonewa wivu na baadhi ya watu. Aliyasema hayo mapema jana katika mapokezi ya ndege hiyo uwanja wa JK Nyerere Dar es salaam.

Katika mapokezi ya ndege Bombardier Jumatatu hii, Rais John Pombe Magufuli amefunguka kuzungumzia namna nchi ya Tanzania inavyoonewa wivu na baadhi ya watu. Aliyasema hayo mapema jana katika mapokezi ya ndege hiyo uwanja wa JK Nyerere Dar es salaam.

Chanzo: bongo5.com