Menu ›
Habari
Tue, 3 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Katika mapokezi ya ndege Bombardier Jumatatu hii, Rais John Pombe Magufuli amefunguka kuzungumzia namna nchi ya Tanzania inavyoonewa wivu na baadhi ya watu. Aliyasema hayo mapema jana katika mapokezi ya ndege hiyo uwanja wa JK Nyerere Dar es salaam.
Katika mapokezi ya ndege Bombardier Jumatatu hii, Rais John Pombe Magufuli amefunguka kuzungumzia namna nchi ya Tanzania inavyoonewa wivu na baadhi ya watu. Aliyasema hayo mapema jana katika mapokezi ya ndege hiyo uwanja wa JK Nyerere Dar es salaam.
Chanzo: bongo5.com