Menu ›
Habari
Mon, 16 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 16, 2021 ameondoka nchini kuelekea Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika kuanzia tarehe 17-18 Agosti, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 16, 2021 ameondoka nchini kuelekea Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika kuanzia tarehe 17-18 Agosti, 2021.
Chanzo: globalpublishers.co.tz