Menu ›
Habari
Wed, 14 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa amesema hakuna ulazima katika kanisa kufungua na kuona mwili wa mwanadamu aliyefariki, na sio sheria kufanya hivyo.
"Tuwe tunatazamana tukiwa hai tusisubiri mtu amelala, msifikiri kwenda kuaga lazima ufungue mtu wamuone siyo lazima", amesema Malasusa.
Malasusa amesema hayo leo Februari 14, 2024 katika ibada ya kuuaga mwili wa aliyekuwa waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa aliyefariki dunia Februari 10 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live