Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ukichezea amani unachezea maisha yako – Rais Magufuli

4835 MAGUFULI REPORT2 TZW

Sat, 17 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa mtu akichezea amani ya nchi amechezea maisha yake.



Rais Magufuli leo Machi 15, 2018 wakati wa uzinduzi wa kiwanda cha kutengeneza sigara cha Philips Moris International mjini Morogoro.

“Ukichezea amani unachezea maisha yako. Unaweza ukadhani wewe uko mbali ukafikiri haitakupata. Isipokupata wewe, itampata hata ndugu yako,” amesema Rais Magufuli.

Hata hivyo Rais amezungumzia mashamba yanayofutwa ameeleza kuwa “Nilishasema mashamba yote yanayofutwa, wapewe wananchi bure, ni mali yao, walidhulumiwa tangu zamani kwa wakubwa fulani fulani kujimilikisha”.

Chanzo: bongo5.com