Menu ›
Habari
Tue, 21 Dec 2021
Chanzo: millardayo.com
Kutokana na taarifa zinazoendela katika mitandao ya kijamiii kuhusu kusimama ujenzi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere imemlazimu Mkurugenzi mtendaji wa TANESCO Maharage Chande kutolea ufafanuzi taarifa hiyo kuwa si kweli na kwamba ujenzi unaendelea Kama kawaida.
Kutokana na taarifa zinazoendela katika mitandao ya kijamiii kuhusu kusimama ujenzi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere imemlazimu Mkurugenzi mtendaji wa TANESCO Maharage Chande kutolea ufafanuzi taarifa hiyo kuwa si kweli na kwamba ujenzi unaendelea Kama kawaida.
Chanzo: millardayo.com