Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tuendelee kuliombea taifa letu – Rais Magufuli

3822 8 1 TZW

Tue, 27 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kuliombea taifa letu.

8

Rais Dkt. John Magufuli

Rais Magufuli ameyasema hayo leo Jumapili Februari 25, 2018 mjini Chato, Geita alipohudhuria kwenye Ibada katika Parokia teule ya Mlimani huku akimpongeza Askofu Mkuu wa Jimbo la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi kwa kukipa hadhi kigango cha Mlimani kuwa Parokia.

Soma taarifa zaidi;

8ebb2347-d830-429d-b2b5-c2e59d3967de.jpeg

 

Chanzo: bongo5.com