Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tazama Rais Samia akiongea na simu na Rais wa AFDB (+video)

Video Archive
Sat, 12 Jun 2021 Chanzo: millardayo.com

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Adesina Akinumwi amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa benki hiyo itaendelea kufadhili miradi ya maendeleo hapa nchini na ipo tayari kufadhili miradi mipya kwa kuwa Tanzania ina sifa za kuendelea kupata ufadhili.

Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Adesina Akinumwi amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa benki hiyo itaendelea kufadhili miradi ya maendeleo hapa nchini na ipo tayari kufadhili miradi mipya kwa kuwa Tanzania ina sifa za kuendelea kupata ufadhili.

Chanzo: millardayo.com