Menu ›
Habari
Sun, 19 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambae tayari ameshafika nchini Marekani kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la UN.
Ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambae tayari ameshafika nchini Marekani kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la UN. Hapa nimekusogezea video ushuhudie watanzania walivyompokea akiwemo Mange Kimambi.
Chanzo: millardayo.com