Menu ›
Habari
Mon, 11 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amenukuu baadhi ya aya kutoka kwenye Biblia Takatifu wakati wa Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na Kumuweka Wakfu na Kumuingiza kazini Askofu Mteule Mchungaji Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mchungaji Newton John Maganga katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tabora, Mtazame hapa akisoma kifungu cha Biblia.
Loading...
Chanzo: bongo5.com