Menu ›
Habari
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania ni tajiri na hatukutakiwa tuwe maskini, ameeleza kuwa hatukutakiwa kuwa omba omba huku akieleza kuwa haikutakiwa tukiwa tunaomba misaada kwa watu wa nje. Tazama video hii akieleza.
Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania ni tajiri na hatukutakiwa tuwe maskini, ameeleza kuwa hatukutakiwa kuwa omba omba huku akieleza kuwa haikutakiwa tukiwa tunaomba misaada kwa watu wa nje. Tazama video hii akieleza.
Chanzo: bongo5.com