Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tanzania hatukutakiwa kuwa omba omba – Rais Magufuli (+video)

Video Archive
Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania ni tajiri na hatukutakiwa tuwe maskini, ameeleza kuwa hatukutakiwa kuwa omba omba huku akieleza kuwa haikutakiwa tukiwa tunaomba misaada kwa watu wa nje. Tazama video hii akieleza.

Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa Tanzania ni tajiri na hatukutakiwa tuwe maskini, ameeleza kuwa hatukutakiwa kuwa omba omba huku akieleza kuwa haikutakiwa tukiwa tunaomba misaada kwa watu wa nje. Tazama video hii akieleza.

Chanzo: bongo5.com