Menu ›
Habari
Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ofisini kwake Bungeni, jijini Dodoma leo Septemba 04, 2023.
Pamoja na mambo mengine, Tulia amemhakikishia Biteko kuwa Bunge litampa ushirikiano wa kutosha ili kutimiza na kufanikisha shughuli za Serikali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: