Menu ›
Habari
Fri, 10 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Naibu wakili Mkuu wa serikali Boniface Ruhende amekutana na baraza la wafanyakazi wanaofanya kazi kwenye ofisi ya wakili mkuu ambapo wamezungumzia dhana ya mawakili wa serikali kushindwa kwenye kesi nakusema si kweli na kwamba mwaka 2020-2021 wamefanikiwa kuokoa Billion 541.
Naibu wakili Mkuu wa serikali Boniface Ruhende amekutana na baraza la wafanyakazi wanaofanya kazi kwenye ofisi ya wakili mkuu ambapo wamezungumzia dhana ya mawakili wa serikali kushindwa kwenye kesi nakusema si kweli na kwamba mwaka 2020-2021 wamefanikiwa kuokoa Billion 541.
Chanzo: millardayo.com