Menu ›
Habari
Sun, 24 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Serikali kupitia Naibu waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi, ajira na watu wenye ulemavu, Antony Mavunde imesema haitafuta tozo inayotozwa katika daraja la Kigamboni kwasababu fedha hizo zinatumika kulipa deni la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Loading...
Chanzo: bongo5.com