Menu ›
Habari
Mon, 4 Oct 2021
Chanzo: millardayo.com
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imesema kuwa haijazuia Wafanyabiashara hapa nchini kuuza mazao yao nje ya Nchi.kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa kilimo Hussein Bashe wakati wa ziara ya kikazi katika Mkoa wa Katavi.
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imesema kuwa haijazuia Wafanyabiashara hapa nchini kuuza mazao yao nje ya Nchi.kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa kilimo Hussein Bashe wakati wa ziara ya kikazi katika Mkoa wa Katavi.
Chanzo: millardayo.com