Menu ›
Habari
Fri, 23 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
Anna Mghwira ambae aliwahi kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo mwaka 2015 na baadae kuteuliwa kuwa RC Kilimanjaro amefariki.
Anna Mghwira ambae aliwahi kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo mwaka 2015 na baadae kuteuliwa kuwa RC Kilimanjaro amefariki. Msiba huo mmegusa pia Rais wa awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambae ametuma salamu za rambirambi kufuatiwa kwa msiba huo.
Chanzo: millardayo.com