Menu ›
Habari
Sun, 19 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JF Kennedy Jijini New York Marekani leo 19 Septemba, 2021 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UN unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 Sept, 2021.
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JF Kennedy Jijini New York Marekani leo 19 Septemba, 2021 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UN unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 Sept, 2021.
Chanzo: millardayo.com