Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais Samia Suluhu Hassan awasili nchini Marekani

Video Archive
Sun, 19 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JF Kennedy Jijini New York Marekani leo 19 Septemba, 2021 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UN unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 Sept, 2021.

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JF Kennedy Jijini New York Marekani leo 19 Septemba, 2021 kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UN unaotarajiwa kufanyika tarehe 23 Sept, 2021.

Chanzo: millardayo.com