Menu ›
Habari
Sun, 12 Jun 2022
Chanzo: Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 12, 2022, amewasili Muscat nchini Oman kwa kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu.
Akiwa nchini humo, Rais Samia Suluhu Hassan amepokewa na Mwenyeji wake Kiongozi Mkuu wa Taifa la Omani Sultan Haitham bin Tariq Al Said.
Rais Samia alipata mapokezi Rasmi yaliyofanyika kwenye viwanja vya Kasri ya Al Alam Muscat nchini humo.
Chanzo: Tanzania