Menu ›
Habari
Wed, 8 Sep 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Rais wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 8, 2021 amewasili Uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la Utamaduni, Mila na Desturi zetu lililoandaliwa na Umoja wa Machifu Tanzania (UMT) na Kituo cha Makumbusho cha Bujora Mwanza.
Chanzo: globalpublishers.co.tz