Menu ›
Habari
Wed, 11 Nov 2020
Chanzo: millardayo.com
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli atalihutubia Bunge la 12 Ijumaa November 13, 2020 saa 3:00 asubuhi, Dodoma kuashiria kuanza rasmi kwa Bunge.
“Naomba Wabunge wote muwepo Bungeni siku hiyo, Rais atalihuhutubia Bunge lakini kupitia sisi atakuwa akihutubia Taifa” Spika Ndugai
HATIMAYE TUNDU LISSU AONDOKA NCHINI AENDA UBELGIJI
Chanzo: millardayo.com