Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya NHC

5106 Schoolpicha TZW

Wed, 21 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Blandina Nyoni.



Pia Rais Magufuli ameivunja bodi ya shirika hilo. Soma taarifa hiyo hapa chini.

Chanzo: bongo5.com