Menu ›
Habari
Sat, 28 Nov 2020
Chanzo: millardayo.com
Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza inawashikilia wahamiaji haramu 52 raia wa Ethiopia waliokuwa wamejificha kwenye nyumba ya kulala wageni Mabatini na Bukuku kata ya Buhongwa katika Manispaa ya Nyamagana baada ya kuingia nchini Kinyume cha sheria.
Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza inawashikilia wahamiaji haramu 52 raia wa Ethiopia waliokuwa wamejificha kwenye nyumba ya kulala wageni Mabatini na Bukuku kata ya Buhongwa katika Manispaa ya Nyamagana baada ya kuingia nchini Kinyume cha sheria.
Chanzo: millardayo.com