Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Radi Yajeruhi Wanafunzi 16 Geita - Video

Video Archive
Mon, 16 Aug 2021 Chanzo: globalpublishers.co.tz

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa na radi wakati wakiwa darasani wanaendelea na masomo yao huku watano kati yao wakiwa na hali mbaya.

Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa na radi wakati wakiwa darasani wanaendelea na masomo yao huku watano kati yao wakiwa na hali mbaya.

Chanzo: globalpublishers.co.tz