Menu ›
Habari
Mon, 16 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa na radi wakati wakiwa darasani wanaendelea na masomo yao huku watano kati yao wakiwa na hali mbaya.
Wanafunzi 16 wa shule ya Sekondari Rwezela iliyopo Kata ya Nzera mkoani Geita, wamenusurika kifo baada ya kujeruhiwa kwa kupigwa na radi wakati wakiwa darasani wanaendelea na masomo yao huku watano kati yao wakiwa na hali mbaya.
Chanzo: globalpublishers.co.tz