Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu, RC wa Tabora Dr. Philemon Sengati amethibitisha>>“moyo wake ulifeli, alikuwa na Kisukari na Presha, amefia Milambo Hospital Mkoani Tabora”
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu, RC wa Tabora Dr. Philemon Sengati amethibitisha>>“moyo wake ulifeli, alikuwa na Kisukari na Presha, amefia Milambo Hospital Mkoani Tabora”