Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Prof. Lipumba awafunda wapinzani ‘tusisubiri mabaki kutoka CCM’ (+video)

Video Archive
Sat, 24 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

EXCLUSIVE:Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amezungumzia siasa ya Tanzania kwa ujumla huku akitaka watu wapinzani kuacha tabia ya kusubiri mabaki kutoka CCM. prof. lipumba ametoa mfano wa Chadema kumchukua Mh. Edward Lowassa akiyekuwa CCM na kumuacha Dkt. Willbroad Slaa.

EXCLUSIVE:Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amezungumzia siasa ya Tanzania kwa ujumla huku akitaka watu wapinzani kuacha tabia ya kusubiri mabaki kutoka CCM. prof. lipumba ametoa mfano wa Chadema kumchukua Mh. Edward Lowassa akiyekuwa CCM na kumuacha Dkt. Willbroad Slaa.

Chanzo: bongo5.com