Menu ›
Habari
Mon, 6 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan, leo amemuapisha Profesa Adelardus Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil.
Rais Samia Suluhu Hassan, leo amemuapisha Profesa Adelardus Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazil. Halfa ya kumuapisha Profesa Kilangi ambaye katika Serikali ya awamu ya tano alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live