Menu ›
Habari
Wed, 12 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku chache tangu kutangazwa kwa kifo cha Panya aliekuwa akitegua mabomu nchini Cambodia, Panya Magawa, ambae alipata mafunzo katika chuo cha SUA mkoani Morogoro.
Mkurugenzi wa kituo cha Apopo ambacho ndio hasa kinachojihusisha na utoaji mafunzo wa Panya hao, amesema wanaanda Panya ambae atamrithi Panya Magawa.
Tazama Video kwa undani kusikia walichozungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live