Mtumishi wa Mungu machachari mitandaoni maarufu kwa jina la Nabii Eliya, ambaye mwaka 2015 aliwahi kuzungumzia kuibuka kwa vita kati ya Urusi na Ukraine, ameibuka tena na kuzungumzia kitakachotokea katika vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine.
Mtumishi wa Mungu machachari mitandaoni maarufu kwa jina la Nabii Eliya, ambaye mwaka 2015 aliwahi kuzungumzia kuibuka kwa vita kati ya Urusi na Ukraine, ameibuka tena na kuzungumzia kitakachotokea katika vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine. Nabii Eliya amesema kuwa lengo la Urusi ni kuichukua Ukraine na baadaye taifa la Uturuki na kwamba hakuna taifa lolote la kuizuia Urusi kuichukua Ukraine katika vita hii ya sasa.