Menu ›
Habari
Tue, 26 Oct 2021
Chanzo: eatv.tv
DC wa Instagram Mwijaku anasema ndoa ya msanii Hamisa Mobetto itafanyika mwaka 2022 na haolewi na mwanaume anayetokea bara la Africa.
Mwijaku ambaye anajiita kaka wa Hamisa Mobetto anasema ndoa hiyo itafanyika bila kukusanya michango yoyote na MC atakuwa yeye mwenyewe.
Zaidi tazama hapa kwenye video.
Chanzo: eatv.tv