Menu ›
Habari
Thu, 17 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Aisha Athumani amekutwa ameuwawa ndani ya gesti maeneo ya Sinza Mori, Jijini Dar es salaam.
Taarifa za awali zinaeleza mwanamama huyo ni mhudumu wa gesti hiyo na alimkaribisha moja ya wateja wake chumbani kwake ndipo tukio hilo likatokea.
Taarifa zaidi zitakujia hivi karibuni kupitia hapa hapa Tanzaniaweb.live
Chanzo: www.tanzaniaweb.live