Menu ›
Habari
Mon, 30 Aug 2021
Chanzo: millardayo.com
Mama mmoja nchini Rwanda amezua taharuki Kanisani ambako Mume alikuwa akifunga ndoa na Mke mwingine kimya kimya na kusababisha vurugu ambazo ziliibuka Kanisani.Ayo TV & millardayo.com itakuletea mwendelezo wa stori hii, hapa nimekuwekea video ushuhudie kile kilichotokea Kanisani.
Mama mmoja nchini Rwanda amezua taharuki Kanisani ambako Mume alikuwa akifunga ndoa na Mke mwingine kimya kimya na kusababisha vurugu ambazo ziliibuka Kanisani.Ayo TV & millardayo.com itakuletea mwendelezo wa stori hii, hapa nimekuwekea video ushuhudie kile kilichotokea Kanisani.
Chanzo: millardayo.com