Menu ›
Habari
Thu, 28 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya, linamshikilia Leodger Mbunda (17), Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mbalizi kwa tuhuma za kumkuta na Risasi ya SMG katika mfuko wake wa koti.
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya, linamshikilia Leodger Mbunda (17), Mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mbalizi kwa tuhuma za kumkuta na Risasi ya SMG katika mfuko wake wa koti. Tukio hilo limetokea Julai 25 majira ya saa moja asubuhi baada ya upekuzi na mtuhumiwa anaendelea kushikiliwa kwa mahojiano.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live