Menu ›
Habari
Mon, 20 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Matukio ya wanawake kuuawa kikatili na wapenzi au waume zao yameendelea kutikisa, baada ya mwanamke mmoja mmiliki wa saluni ya Madam Beauty Point, anayefahamika kwa jina la Leonia Julius, kudaiwa kunyongwa na mpenzi wake wakiwa hotelini.
Matukio ya wanawake kuuawa kikatili na wapenzi au waume zao yameendelea kutikisa, baada ya mwanamke mmoja mmiliki wa saluni ya Madam Beauty Point, anayefahamika kwa jina la Leonia Julius, kudaiwa kunyongwa na mpenzi wake wakiwa hotelini. Tazama video ndugu wa marehemu akisimulia ilivyokuwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live