Menu ›
Habari
Wed, 12 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hospital ya taifa ya Afya ya Akili Mirembe imetoa taarifa ya kufariki kwa aliyekuwa mtumishi wa Hospital hiyo Rufina Komba aliyekutwa ameuwawa kikatili nyumbani kwake Mchese jijini Dodoma.
Majirani wamesema taarifa ya tukio hilo wameipata majira ya saa saba usiku na mumewe akimbia kusikojulikana.
Sikiliza majirani wakizungumzia tukio hilo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live