Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Milioni 30 zazuia Mwili wa Marehemu Mochwari?, Hospitali na Familia wafunguka (video+)

Video Archive
Thu, 14 Oct 2021 Chanzo: millardayo.com

Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Lutheran Medical Centre iliyopo Mkoani Arusha imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa ya mwili Marehemu Felista Kaaya kudaiwa kuzuiliwa Hospitalini hapo kutokana na deni la fedha za matibabu na dawa zinazozidi milioni 30, taarifa kamili ipo kwenye video hii.

Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Lutheran Medical Centre iliyopo Mkoani Arusha imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa ya mwili Marehemu Felista Kaaya kudaiwa kuzuiliwa Hospitalini hapo kutokana na deni la fedha za matibabu na dawa zinazozidi milioni 30, taarifa kamili ipo kwenye video hii.

Chanzo: millardayo.com