Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mh. Lema atoa siri nzito kuwekwa mahabusu kwa Mh. Mbowe na wenzake (+video)

Video Archive
Thu, 29 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA), Godbless Lema amezungumza sababu za viongozi wao kukamtwa na kuwekwa rumande, huku akidai kuwa lengo la watuhumiwa hao ni kunyimwa dhamana. Lema amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam : Tazama video hii Lema akifunguka

Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA), Godbless Lema amezungumza sababu za viongozi wao kukamtwa na kuwekwa rumande, huku akidai kuwa lengo la watuhumiwa hao ni kunyimwa dhamana. Lema amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam : Tazama video hii Lema akifunguka

Chanzo: bongo5.com