Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA), Godbless Lema amezungumza sababu za viongozi wao kukamtwa na kuwekwa rumande, huku akidai kuwa lengo la watuhumiwa hao ni kunyimwa dhamana. Lema amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam : Tazama video hii Lema akifunguka
Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA), Godbless Lema amezungumza sababu za viongozi wao kukamtwa na kuwekwa rumande, huku akidai kuwa lengo la watuhumiwa hao ni kunyimwa dhamana. Lema amezungumza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chama hicho yaliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam : Tazama video hii Lema akifunguka