Menu ›
Habari
Sat, 29 Jan 2022
Chanzo: millardayo.com
Mfanyakazi wa moja ya benki ya jijini Arusha, Bryson Burchad mkazi wa Ngusero jijini Arusha, amejinyonga hadi kufa katika chumba Cha mpangaji wake kwa kutumia khanga ya mkewe aliyoomba kwa lengo la kwenda kuoga huku akiacha ujumbe kwa mkewe.
Mfanyakazi wa moja ya benki ya jijini Arusha, Bryson Burchad mkazi wa Ngusero jijini Arusha, amejinyonga hadi kufa katika chumba Cha mpangaji wake kwa kutumia khanga ya mkewe aliyoomba kwa lengo la kwenda kuoga huku akiacha ujumbe kwa mkewe.
Chanzo: millardayo.com