Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mbowe na viongozi wakuu CHADEMA kula Pasaka mahabusu (+video)

Video Archive
Fri, 30 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Viongozi 6 wa CHADEMA akiwemo Freeman Mbowe na wenzake wafikishwe mahakamani tarehe 3, mwaka huu kukamilisha ili kukamilisha masharti ya dhamana.

Tazama video hii baadhi ya viongozi wa Chadema wakizungumza baada ya kutoka chumba cha Mahakama:

Hakimu alieleza kuwa Mahakama inatoa remove order washtakiwa waje Mahakamani April 3 na wadhamini wao ili wakamilishe masharti ya dhamana.

Hapo Awali ilielezwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake walishindwa kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwasababu gari walilopanda limeharibika njiani wakati wakielekea Mahakamani.

Chanzo: bongo5.com