Kikosi kazi kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu masuala ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini kitakutana na wanaharakati machachari Fatma Karume na Maria Sarungi Mei 13 na 16 kabla ya kukutana na mtandao wa Wanawake wa Katiba, Uchaguzi na Uongozi Tanzania, Chama cha Wafugaji Tanzania, Chama cha Wakulima Tanzania na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.
Kikosi kazi kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu masuala ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini kitakutana na wanaharakati machachari Fatma Karume na Maria Sarungi Mei 13 na 16 kabla ya kukutana na mtandao wa Wanawake wa Katiba, Uchaguzi na Uongozi Tanzania, Chama cha Wafugaji Tanzania, Chama cha Wakulima Tanzania na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora.