Menu ›
Habari
Sun, 24 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama ACT- Wazalendo amesema kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji haikusanyi ushuru, watendaji wamegoma kwasababu amri ya Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole. Naibu Waziri TAMISEMI ametoa majibu ya Serikali.
Loading...
Chanzo: bongo5.com