Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mama asimulia kilichotokea Sakata la Askari aliyemchinja baba yake (+Video)

Video Archive
Thu, 13 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.

Bi Renatha anadai siku ya Tukio Mtuhumiwa alifika nyumbani hapo asubuhi na kurushiana maneno na baba yake.

Tazama Video kujua kilichotokea;

Chanzo: www.tanzaniaweb.live