Menu ›
Habari
Thu, 13 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mama Mzazi wa Mussa Edward Ndonde Askari wa JWTZ MT.109772 Kikosi cha Ruvu JKT mkoani Pwani Bi Renatha Ndonde ameeleza hali Ilivyo kua nyumbani kabla mwanae kumuua baba yake.
Bi Renatha anadai siku ya Tukio Mtuhumiwa alifika nyumbani hapo asubuhi na kurushiana maneno na baba yake.
Tazama Video kujua kilichotokea;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live