Menu ›
Habari
Wed, 17 Nov 2021
Chanzo: Global TV Online
Wakati Jeshi la Polisi mkoani Arusha likimshikilia kijana, Ibrahim Shaba, kwa tuhuma za mauaji ya mwanafunzi aliyekuwa akisoma katika shule ya sekondari Suye mkoani Arusha, Evance Florian, mwenye umri wa miaka 13.
wazazi wake wametoa kauli kuwa hawatapokea mwili hadi mwili huo utakapofanyiwa 'prosmotamu'.
mtoto Evance alipigwa kichwani hadi kufa kisa shilingi 3000, na familia imekanusha taarifa zilioripotiwa kuwa marehemu aliuguwa hadi mauti kumkuta.
Chanzo: Global TV Online