Menu ›
Habari
Tue, 21 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwili wa mama mzazi wa msanii @luludivatz tayari umezikwa nyumbani kwao Mafele Muheza mkoani Tanga, leo mchana baada ya kufariki dunia siku ya juzi Jijini Dar es salaam.
Mwili wa mama mzazi wa msanii @luludivatz tayari umezikwa nyumbani kwao Mafele Muheza mkoani Tanga, leo mchana baada ya kufariki dunia siku ya juzi Jijini Dar es salaam. Mbunge wa Muheza Hamisi Mwinjuma Mwana Fa, Irene Uwoya, Whozu, Petitman Wakuache, Aristotee na Alice Kela ni baadhi ya mastaa waliojitokeza kwenye mazishi ya mama yake Lulu Diva.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live